Thursday, March 21, 2013

Perhaps this reminder will console teachers!

By Editor, 20th March 2013

SOURCE: THE GUARDIAN

Mass failures of students in decisive examinations in Tanzania have for years now left education stakeholders, among them parents, both worried and stunned.
There is still no consensus over what can be done to improve academic and professional performance in our schools and colleges.

Thursday, March 14, 2013

Udobi aliyeanza kupata Sh2,000 mpaka Sh 20,000 kwa siku




Na Joseph Zablon, Mwananchi 
Posted  Alhamisi,Marchi14  2013

Tatizo la ajira lina wagusa watu wengi hasa vijana. Wengi wanaangaika kutafuta ajira bila mafanikio huku wengi wakiwa ni wahitimu wa vyuo vikuu.
Kila mwaka vyuo vikuu nchini vinazalisha wataalamu wa kila aina, lakini wengi wamebaki mitaani kutokana na kukosa ajira.

Pele: Hakuna mkato kwenye soka

"Soka barani Afrika mazingira yake yanafanana, hakuna mtoto wa waziri anayecheza soka, wala hakuna mtoto wa mwanasheria au mfanyakazi wa benki ambaye anacheza soka, soka inachezwa na watu wanaotoka kwenye familia duni na hilo ndiyo daraja la kuelekea maisha mazuri,"alisema Pele.
Mwananchi
Posted  Jumatatu, Novemba5  2012 


NYOTA wa zamani wa Ghana na Olympique Marseille, Abedi Pele amewaambia wachezaji chipukizi wa Tanzania kuwa hakuna njia ya mkato katika kutafuta mafanikio katika soka.

Pele, aliyeiongoza Marseille kutwaa ubingwa wa Ulaya mwaka 1992, huku akifunga moja ya mabao dhidi ya AC Milan ya Italia alisema hayo jana asubuhi wakati alipotembelea kituo cha kufundisha wachezaji watoto wa kuanzia umri wa miaka sita hadi 17.

Pele aliwaambia katika kufikia mafanikio hakuna njia ya mkato na aliwataka wafanye jitihada ili watimize ndoto zao ikiwa ni pamoja na timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17 'Serengeti Boys' inahakikisha inafuzu kucheza Fainali za Afrika mwakani.

"Tunaona wachezaji wenye vipaji vikubwa duniani wakifanya jitihada kubwa ili waweze kucheza kwa kiwango cha juu, bila ya kufanya juhudi, kujituma na kudhamiria hauwezi kufanikiwa,"alisema Pele.

Alisema,"Wale wenye vipaji, lakini hawafanyi jitihada hawataendelea, wale wasiojaliwa kuwa na vipaji, lakini wanafanya jitihada, watakwenda mbele na kupata mafanikio," alisema nyota Pele ambaye ameletwa nchini na Shirikisho la Soka Kimataifa (Fifa) kuangalia shughuli mbalimbali za maendeleo ya mpira wa miguu nchini.

"Soka barani Afrika mazingira yake yanafanana, hakuna mtoto wa waziri anayecheza soka, wala hakuna mtoto wa mwanasheria au mfanyakazi wa benki ambaye anacheza soka, soka inachezwa na watu wanaotoka kwenye familia duni na hilo ndiyo daraja la kuelekea maisha mazuri,"alisema Pele.

Pele, ambaye jina lake halisi ni Abedi Ayew aliwataka wachezaji wa timu ya taifa ya vijana 'Serengeti Boys' kufanya kila wawezalo ili wafuzu kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika zitakazofanyika Morocco mwakani.

"Mkifuzu mtakuwa mmefungua milango ya mafanikio ya maisha yenu," alisema Pele.

Pele ameambatana na Mkurugenzi wa  Maendeleo wa Fifa kwa nchini za Kusini mwa Afrika, Ashford Mamelodi na mmoja wa viongozi wa Idara ya Mawasiliano ya Fifa, Emmanuel, ambapo  watakuwa nchini kwa siku tatu ili kupata taarifa za shughuli mbalimbali za maendeleo, zikiwamo za soka la watoto (grassroots), soka la vijana, soka la wanawake na miradi mingine ya maendeleo.

Tuesday, February 12, 2013

Wanakwenda wapi wakifeli kidato cha nne?





Mwananchi, Jumanne, Februari5  2013

MWAKA 2011, nchi ilishuhudia idadi kubwa ya wanafunzi wakifeli mtihani wa kidato cha nne kwa kupata daraja sifuri.Kwa mujibu wa kumbukumbu za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, watahiniwa 156,089  sawa na asilimia 46.41ya wahitimu wote walifeli mtihani huo kwa kupata daraja hilo la mwisho.Katika mtihani huo wanafunzi 33,577 pekee sawa na asilimia 9.98 ndio waliopata kuanzia daraja la kwanza hadi la tatu, hivyo kuwa na uhakika wa kuendelea na kidato cha tano.

Kwa mujibu wa mfumo wa elimu nchini, wanaopata daraja la nne, baadhi wako shakani kuendelea na daraja la sekondari ya juu. Katika matokeo hayo, hawa walikuwa 146,639 sawa na asilimia 43.60.Ili kujiunga na kidato cha tano, wanafunzi hawa wanapaswa kuwa na alama C katika masomo yasiyopungua matatu.
Aidha, kwa waliopata daraja sifuri ni sawa na kusema miaka minne ya kuwa shule, wameambulia patupu, kwani kwa mfumo uliopo wa elimu hawawezi kuendelea kusoma, labda warudie mitihani au wajiunge na vyuo vinavyopokea wahitimu wa darasa la saba.
Bila shaka jeshi hili la vijana waliofeli ni kubwa, na kwa kuwa nchi haina utaratibu wa kuwaendeleza, swali kuu ni je, wahitimu hawa wanakwenda wapi, wana sifa ya kuajiriwa au hata kuwa na uwezo wa kujiajiri? Kwa habari zaidi bofya hapa.

Nigeria mabingwa Afcon 2013

Wachezaji wa Nigeria wakishangilia ubingwa wao.


Mwananchi, Jumatatu,Februari11  2013

NIGERIA ilitawala mchezo wa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika na kuifunga Burkina Faso bao 1-0 na kutwaa taji mjini, Johannesburg, Afrika Kusini.
Sunday Mba alikuwa shujaa wa ushindi wa Nigeria (Super Eagles) baada ya kufunga bao pekee dakika tano kabla ya filimbi ya kutenganisha nusu ya mchezo huo mkali ulioshuhudiwa na watazamaji 85,000.
Wilfried Sanou angeweza kusawazisha bao hilo kwa Burkina Faso (Stallions) katikati ya kipindi cha pili, shukrani kwa kipa wa Nigeria Vincent Enyeama aliyecheza vizuri kuokoa hatari hiyo.
Ilikuwa mechi ya kwanza kwa Nigeria hatua ya fainali tangu mwaka 2000, na walikuwa wakipewa nafasi kubwa ya kutwaa taji mbele ya Burkina Faso, taifa dogo Afrika Magharibi.
Burkina Faso haijawahi kuifunga Nigeria katika mechi 12 walizokutana katika mashindano mbalimbali, na hiyo ilitosha kuipa Nigeria nafasi ya kushinda mchezo. Efe Ambrose alikuwa na nafasi tano za kufunga kipindi cha kwanza, lakini ya kukumbukwa zaidi ni pale alipopiga juu mpira akimalizia kiki ya adhabu ndogo kutoka kwa Victor Moses ndani ya dakika saba tangu kuanza mchezo.
Nigeria waliotawala mchezo kwa kiasi kikubwa, walikaribia kufungwa kama siyo, Aristide Bance kupoteza nafasi nzuri ya kufunga baada ya shuti lake la mita 25 kukosea shabaha na kwenda nje ya lango huku.
Nigeria wangeweza kufunga bao la pili kama Ideye angetumia vizuri pasi aliyopewa kuusindikiza kirahisi mpira wavuni, lakini akaishia kupiga nje.
Huo ni ubingwa wa tatu kwa Nigeria, lakini wa kwanza kwa tangu mwaka 1994 walipotwaa mara ya mwisho baada ya kuifunga Zambia mabao 2-1 katika mchezo wa fainali.


Rais Kikwete amjibu Lowassa tatizo la ajira nchini







Na Tausi Mbowe na Habel Chidawali, Dodoma
Posted  Jumatatu,Februari11  2013  saa 24:44 AM
Mwananchi

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete katika hali inayoashiria kumjibu rafiki yake, Edward Lowassa ameponda makada wa chama hicho ambao wamekuwa wakipanda jukwaani kuhubiri kuwa ajira ni tatizo pasipo kupendekeza suluhisho la tatizo hilo.
Rais Kikwete ambaye alikuwa akifungua semina ya siku mbili ya Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM mjini Dodoma jana, alisema kusimama jukwaani na kusema kwamba ajira ni tatizo hakuna maana ikiwa mhusika hatoi pendekezo la jinsi ya kumaliza tatizo hilo.
Ingawa hakutaja majina ya wanasiasa ambao wamekuwa wakizungumzia suala hilo lakini Lowassa, ambaye alijiuzulu wadhifa wa Waziri Mkuu mwaka 2008, amenukuliwa mara nyingi akiitaka Serikali kuchukua hatua za kukabiliana na tatizo la ajira kwa maneno kwamba ‘ni bomu linalosubiri kulipuka’. Kwa habari zaidi boya Hapa.

Wednesday, February 6, 2013

Vyuo vya ufundi stadi kichocheo muhimu cha maendeleo ya Taifa





Na Fred Ayazi, Mwananchi. February 5 2013

KILA mwaka, zaidi ya nusu ya wanafunzi wanaohitimu darasa la saba na kidato cha nne, hawapati fursa ya kuendelea na ngazi ya elimu iliyo mbele yao kwa sababu mbalimbali.
Mfano mzuri ni mwaka jana ambapo wanafunzi waliofanya mtihani wa kuhitimu darasa la saba walikuwa 983, 545, lakini waliofaulu ni 567,567. Hivyo wanafunzi 415,978 hawakufanikiwa kuendelea na masomo ya sekondari.
Katika kundi hili wamo watakaosomeshwa na wazazi, walezi ama wafadhili katika shule binafsi. Lakini kuna maelefu wengine watakwama kabisa kuendelea na elimu ya sekondari.
Kwa nchi masikini kama Tanzania, kuzalisha watu zaidi ya 500,000 kila mwaka ambao hawapati ujuzi wowote, ni kuongeza umaskini katika nchi ambayo hivi karibuni tulielezwa kuwa idadi ya watu wake imefika milioni 44.

Saturday, January 19, 2013

UN vows to support young entrepreneurs

Louis Mkuku, National project coordinator  ILO


By Beatrice Philemon, 20th December 2012
 
The United Nations in Tanzania has vowed to support youth entrepreneurs who will be ready to establish businesses or projects to help them set up their own enterprises. The support will be in terms of training and loan facilities, a move that will help to increase productivity, incomes and thereby alleviate poverty.

This was revealed on Tuesday by Louis Mkuku, national project coordinator of the ILO Youth Entrepreneurship Programme during a training for youths out of school, which was organised by the United Nations Information Centre in collaboration with International Labour Organisation (ILO). “Youths who will be ready to embark on projects will be supported by the UN in terms of loan facilities, training and guidance on how to run their businesses," Mkuku said, adding: “This training has been designed to assist you set up your own enterprises and is in line with MDG 1 to ensure people reduce poverty in their familiesl,” he said.
“To meet this initiative today a total of 100 youths out of school from Kigamboni Peer Educators Network, Kibaha Youth Centre, Save the Women Tanzania group, Buguruni Youth Centre and Makangarawe Youth Centre were trained on entrepreneurship skills and how to manage their business so they can help Tanzania meet the Millennium Development Goals, especially goal no 1," he said further.
 
According to him, this is a new programme designed by the UN in Tanzania to help youths put into practice their business concepts or ideas.He said after the support the UN will go back to track their project or business progression and see how it could further help them.

United Nations Information Centre’s public relations officer Usia Ledama said the workshop was intended to awaken youths to create sustainable jobs for themselves and others by incorporating useful techniques such as market analysis, cost listings and record keeping. “We are here not only to enlighten you on the concept of entrepreneurship but also to recognise imagination and innovation of some young women and men seated amongst you and help them identify their wrongs in order to put them right so their businesses can shift to a higher level,” she said.

The participants included members of youth development groups such as Kigamboni Peers Educators Network, Kibada Youth Centre, Save the Women Tanzania Group, Buguruni Youth Centre and Makangarawe Youth Centre.
 
SOURCE: THE GUARDIAN

Youth unemployment a ticking time bomb

President Jakaya Kikwete


Daily News Editor,  17th December 2011

PRESIDENT Jakaya Kikwete said at the International Conference on the Great Lakes Region (ICGLR) Summit in Kampala, Uganda, that youth unemployment in Africa poses a serious threat to the well-being of societies.

He appealed for intervention. He also advised that incisive intervention by leaders was imperative. Each African nation produces an “army” of unemployed youths every year as they complete their studies, he said.

Indeed, unemployment is a growing problem that has been described by a number of national leaders in various parts of Africa and farther afield as a “dangerous time bomb” that could explode in future.

Africa, in particular, faces demographic challenges as its population of young people, aged between 15 and 25, increases and access to secure jobs continues to be problematic. Beyond economic costs, high rates of youth unemployment have social ramifications in Africa.

Some youths with few job prospects and little hope of future advancement go into crime and become a menace to society. Tanzania, which is no exception, has made efforts to create jobs or opening avenues for self-employment but, unfortunately, most mindsets among jobless youths are fixed on well-paying white-collar jobs.

There has over the years been a massive rural-to-urban migration among many youths in search of employment. One reason for this factor may be dismal agricultural performance. Another could be the warped mindset that education means automatic or salaried employment.

But once in towns, the youths often find themselves stuck in slums with little or no way to make even a survival salary and frustration soon sets in. It is estimated that about 133 million young people (more than 50 per cent of the youth population) in Africa are illiterate.

Many young people have little or no skills and are therefore largely excluded from productive economic and social life. Those that have some education often exhibit skills irrelevant to current demand in the labour market.

The rude shock here is that educational and skill requirements are increasing, resulting in millions of unemployed and underemployed youths.

In countries such as Tanzania, vocational training is seen as a means to “help bring young people back into the economic limelight” when the basic education system has failed (the notion of giving a second chance), or as a top-up to the basic knowledge base.

So, it is assumed that vocational training could help prepare youths for the immediate needs of the world of work. But this approach cannot solve the problem of unemployment fully. The youths still remain short of literacy, basic knowledge and lifelong learning skills.

Wednesday, January 16, 2013

Happy New Year 2013

YOSSO team wishes a Happy New Year 2013 to all its friends, subscribers and website visitors. With every New Year, we hope to improve our services and provide more assistance to youth in Tanzania and beyond so that they can access training easily and effectively. Thanks to your valued support and continuous feedback, we have managed to develop new strategies and ideas for better training prospects. We are sure more and more youth clubs will now benefit from the trainings we provide on sport and youth development programs and other resources. This year 2013 we will focus on entrepreneurship training programs in youth clubs in respond to surging problem of unemployment among youth in Tanzania

So, once again, a happy and prosperous New Year and we all hope this New Year will bring in more new opportunities for youth around the Tanzania and beyond!

Tuesday, July 10, 2012

YOSSO United participate in football tournament in Arusha


Youth empowerment event is the youth football tournament that uniquely utilizes sports as a platform for reaching young people towards making a better future.The one month football ‘Go Green’ tournament is taking place in Arusha, Tanzania. During tournament, events such as football matches, environment awareness and leadership workshops for youth are taking place. The campaign consist not only football tournaments but also exhibitions, performances and debates about environment issues.YOSSO United Arusha team and other 16 teams of 400 children from Arusha city are participating on the event.
The competition is organized and funded by YOSSO and Youth Empowerment Foundation which is a non-governmental organization working in the sport for development and youth education.The competition gathers together children, local communities, institutions working with young people outside the framework of formal education system, coaches, teachers and organization working in environment issues as well as role models and stars in the field of football and culture.
The aims of the tournament are;
  • To promote the value of partnership and dialogue between the sport and youth development
  • To raise awareness about environment issues
  • To promote the importance of public private partnership (Sharing good practice)
  • To inspire and activate young people
For Pictures click here